INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA.
Tuingie kwa kupitia mlango ulio mwembamba. Shalom. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari pamoja maandiko…Bwana Yesu alisema maneno yafuatayo katika kitabu cha Luka.. Luka 13:22 “Naye alikuwa akipita katika miji na vijiji, akifundisha, katika safari yake kwenda Yerusalemu. 23 Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, 24 Jitahidini kuingia … Continue reading INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed