BONDE LA KUKATA MANENO.

Bonde la kukata maneno ni nini? Yoeli 3:14 “Makutano makubwa, makutano makubwa, wamo katika bonde la kukata maneno! Kwa maana siku ya Bwana i karibu, katika bonde la kukata maneno. 15 Jua na mwezi vimetiwa giza, na nyota zimeacha kuangaza. 16 Naye Bwana atanguruma toka Sayuni, atatoa sauti yake toka Yerusalemu; na mbingu na nchi … Continue reading BONDE LA KUKATA MANENO.