HALI ZETU JINSI ZINAVYOWEZA KUATHIRI UTOAJI WETU.
Mithali 11:24 “Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji”. Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tena tuyatafakari maandiko. Kuna kanuni Mungu kaziweka katika maisha ambazo ni vizuri tukazielewa ili tusije tukajikuta tunaangamia kwa kukosa maarifa, na kukosa maarifa ni pamoja na kuhangaika huku na huko kutafuta maombezi … Continue reading HALI ZETU JINSI ZINAVYOWEZA KUATHIRI UTOAJI WETU.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed