MAANA YA RANGI KIBIBLIA.

Utangulizi: Wakati mwingine Mungu anaweza kutumia rangi kutufikishia sisi ujumbe fulani, mfano mara baada ya Nuhu kutoka katika Safina Mungu alimpa agano la upinde wa mvua kama ishara kuwa hatateketeza tena kwa maji, ambalo lilikuwa na mkusanyiko wa rangi saba..Jiulize ni kwanini auvike upinde ule rangi nyingi, na si kitu kingine? Angeweza tu kuweka kitu … Continue reading MAANA YA RANGI KIBIBLIA.