JINSI ROHO MTAKATIFU ANAVYOWAFUNULIA WATU MAANDIKO.
Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Leo tutaona kimaandiko ni jinsi gani Roho wa Mungu anavyowasaidia watu kuyaelewa maandiko. Watu wengi, wanaposoma biblia na kuona kama ni ngumu haieleweki hususani vile vitabu vya manabii, kama vile Danieli, Isaya, Ezekieli, Yeremia, Zekaria, Ufunuo na vinginevyo, basi wanakata tamaa kabisa ya kuvimaliza, wanaona ni afadhali … Continue reading JINSI ROHO MTAKATIFU ANAVYOWAFUNULIA WATU MAANDIKO.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed