Je! Shetani alitolea wapi uovu?
SWALI: Ikiwa Mungu aliviumba viumbe vyake vikiwa vikamilifu Je! Shetani alitolea wapi uovu?. Na Je! ni nani aliyeiumba dhambi?. JIBU: Kitu chochote kizuri tunachokiona, mpaka tumejuwa kuwa ni kizuri basi tujue kuwa ni lazima kilikuwepo kingine kibaya ambacho kimeuthibitisha uzuri wake..kwamfano unapolamba sukari mpaka umejuwa kuwa sukari ni tamu ni kwasababu ulishakutana na kitu kama … Continue reading Je! Shetani alitolea wapi uovu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed