NIFANYE NINI ILI NILITIMIZE KUSUDI LA MUNGU.

Kusudi la Mungu ni lipi? Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima, Baadhi yetu tunadhani mpaka Mungu atakapotuambia tufanye hivi au tufanye vile ndipo hapo tutakuwa na uhakika kuwa tunalolifanya ni kusudi la Mungu,… Lakini Jambo lingine ambalo pengine hatufahamu ni kuwa kila wazo au kusudi tunalolifanya liwe ni … Continue reading NIFANYE NINI ILI NILITIMIZE KUSUDI LA MUNGU.