Bali wajane walio vijana ukatae kuwaandika hao.

SWALI: Biblia inamaana gani kusema   “Bali wajane walio vijana ukatae kuwaandika hao, maana, wakizidiwa na tamaa kinyume cha Kristo, wataka kuolewa;nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza”.(1Timotheo 5:11-12). Ni kwanini wahukumiwe kwa kuolewa kwao tena, wakati biblia inaruhusu wajane kuolewa? JIBU: Kama ukisoma kuanzia mistari ya juu utaona zamani za mitume kulikuwa … Continue reading Bali wajane walio vijana ukatae kuwaandika hao.