Mariamu Magdalene ni nani. Na hilo jina amelitolea wapi?
SWALI: Ndugu zangu Huyu Mariamu MAGDALENE ni nani?”..Je! Magdene ni jina la baba yake au ni Jina la ukoo wake?. JIBU: Mariamu Magdalene( wengine wanamwita Magdalena) ni yule mwanamke ambaye tunamwona kwenye biblia akitolewa pepo saba na Bwana Yesu.. Luka 8:2 “na wanawake kadha wa kadha ambao walikuwa na pepo wabaya na magonjwa wakaponywa; nao … Continue reading Mariamu Magdalene ni nani. Na hilo jina amelitolea wapi?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed