YA KALE YAMEPITA, TAZAMA YAMEKUWA MAPYA

2Wakorintho 5.17 “Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya”. Kuwa kiumbe mpya sio kuwa “mtu mpya”…Mtu ni yule yule isipokuwa tabia zinabadilishwa….Mtu wa tabia za asili anania mambo ya ulimwengu huu…Furaha yake ni kula na kunywa  na anasa kama mnyama tu. Mnyama kamwe hawezi kufikiri kwamba … Continue reading YA KALE YAMEPITA, TAZAMA YAMEKUWA MAPYA