JE NI DHAMBI KUWA NA MAHUSIANO KABLA YA NDOA?
Mahusiano ya uchumba, ni tofuati na mahusiano ya kimapenzi. Yapo mahusiano ya uchumba ambayo mtu anakuwa nayo kwa mtu aliyemchumbia, hilo halina tatizo maadamu halihusanishwi na vitendo vyovyote vya zinaa. Watu hao wawili wanaweza wakakutana wakala pamoja, wakazungumza pamoja, wakafurahi pamoja, wakatembeleana nyumbani kwao, wakaweka mpingano pamoja..lakini si kulala, pamoja, au kukaribiana kimapenzi au kuonyesha … Continue reading JE NI DHAMBI KUWA NA MAHUSIANO KABLA YA NDOA?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed