KIFO CHA MTAKATIFU PERPETUA NA FELISTA.

Kifo cha mtakatifu perpetua na felista kimebeba ujumbe gani kwetu? Perpetua alizaliwa huko Tunis (Mji mkuu wa Tunisia) Afrika ya Kaskazini mwaka unaokadiriwa kuwa wa 182, alizaliwa katika familia ya kitajiri, yenye kuheshimika sana, baba yake alikuwa ni mpagani, lakini Perpetua aliupokea Ukristo na kuwa mfuasi kamili wa Kristo, japo historia haionyeshi ni kipindi gani … Continue reading KIFO CHA MTAKATIFU PERPETUA NA FELISTA.