KWA HIYO NDUGU, VUMILIENI, HATA KUJA KWAKE BWANA.

Yakobo 5:7 “Kwa hiyo ndugu, vumilieni, hata kuja kwake Bwana. Tazama, mkulima hungoja mazao ya nchi yaliyo ya thamani, huvumilia kwa ajili yake hata yatakapopata mvua ya kwanza na ya mwisho. 8 Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia”. Kwanini mtume huyu alifananisha kumngojea Bwana na uvumilivu na wa mkulima anayengojea … Continue reading KWA HIYO NDUGU, VUMILIENI, HATA KUJA KWAKE BWANA.