MUNGU WETU, JINSI LILIVYO TUKUFU JINA LAKO DUNIANI MWOTE!

Jambo mojawapo ambalo lilikuwa linamfanya Daudi asichoke kumsifu Mungu, ni vile alivyokuwa anajijengea mazoea ya kuutafakari ukuu wake kila mahali alipokuwepo.. Daudi alikuwa akizitazama mbingu sana, akiangalia jinsi nyota na mwezi vilivyowekwa angani na Mungu kwa namna ya ajabu na ya kushangaza.. Nakuambia kuna raha na changamko fulani la kipekee linaingia ndani yako, pale unapotenga … Continue reading MUNGU WETU, JINSI LILIVYO TUKUFU JINA LAKO DUNIANI MWOTE!