NIMEOKOKA, ILA MUNGU NDIYE ANAYEJUA NITAKWENDA WAPI.
Je! Ni sahihi kwa mkristo kufikiria hivi?.. Jaribu kufikiria mfano huu.. Mtu mmoja alitamani sana kujua afya ya mwili wake, hivyo akakusudia kweli kwenda hospitali kupima afya yake kama ameathirika na Ukimwi au La, Hivyo akafanikiwa kwenda kuonana na daktari akachukuliwa vipimo vyote, Lakini alipomaliza kuchukuliwa tu vipimo akaondoka zake akarudi nyumbani kwake, daktari alipomaliza … Continue reading NIMEOKOKA, ILA MUNGU NDIYE ANAYEJUA NITAKWENDA WAPI.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed