USITUPE LULU ZAKO MBELE YA NGURUWE.
Mathayo 7:6 “Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua”. Maneno hayo yalizungumzwa na Bwana wetu Yesu. Akifunua kuwa sio kila neno/kitukinawafaa baadhi ya watu. Hivyo tuwe na hekima tunapotoa au tunaposema vitu vyetu vilivyo vya thamani mbele za watu, kwasababu unaweza ukasema … Continue reading USITUPE LULU ZAKO MBELE YA NGURUWE.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed