Ni kwa namna gani Yesu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka?

SWALI: mstari huu una maana gani? Luka 2:34 “Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa”? JIBU: Kwa faida yetu wote, ni vizuri tukaanzia mistari ya juu ili tupate ufahamu wa habari yote hiyo inamuhusu nani.. Luka 2:25 “Na tazama, pale Yerusalemu … Continue reading Ni kwa namna gani Yesu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka?