JE WEWE NI LAZARO YUPI, WA KWANZA AU WA PILI?

Shalom jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Kuna wakati Bwana Yesu aliwaambia mitume wake maneno haya.. Yohana 12:24 “ Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi..” Aliwaambia maneno haya, kwanza kutokana na wanafunzi wake kuona wingi wa watu waliokuwa wanamfuata … Continue reading JE WEWE NI LAZARO YUPI, WA KWANZA AU WA PILI?