KUOTA UNATEMBEA JUU YA MAJI.

Nini maana ya Kuota unatembea juu ya maji ?. Kama tunavyojua stori ya mtu mmoja  katika biblia ambaye alirekodiwa kutembea juu ya maji, ni Bwana wetu Yesu Kristo peke yake. Lakini swali la kujiuliza, ni kwanini aamue kufanya vile? Kulikuwa na umuhiimu gani wa yeye usiku  ule kutembea juu ya maji? Je, ni kwasababu alikuwa … Continue reading KUOTA UNATEMBEA JUU YA MAJI.