Kwanini Mungu alisema hakuna mtu awazaye kuuona uso wake akaishi?
SWALI: Kwanini Mungu alimwambia Musa hakuna mtu awazaye kuuona uso wake akaishi,(Kutoka 33:20) Je! Kwa Mungu kuna mauti, tunapaswa tujihadhari naye? JIBU: Tunajua biblia inatuambia kuwa kwa Mungu ndipo chemchemi za maji ya uzima zinapotoka, na ndipo chanzo cha uhai kwa kila kiumbe hai kinapozaliwa.. Zaburi 104:29 “Wewe wauficha uso wako, Wao wanafadhaika; Waiondoa pumzi … Continue reading Kwanini Mungu alisema hakuna mtu awazaye kuuona uso wake akaishi?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed