Je! Ule mwiba uliokuwa katika mwili wa Paulo ulikuwa ni nini?
JIBU: Tusome 2Wakorintho 12:7 “Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi, kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili, mjumbe wa Shetani ili anipige, nisije nikajivuna kupita kiasi. 8 Kwa ajili ya kitu hicho nalimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke. 9 Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu.” Kumekuwa na mtazamo … Continue reading Je! Ule mwiba uliokuwa katika mwili wa Paulo ulikuwa ni nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed