MAJESHI YA PEPO WABAYA.

Shalom. Waefeso 6:12 “Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho”. Biblia inatuambia biblia inatumia Neno “majeshi” ikimaanisha ni mengi na pia yapo makundi makundi, na inatumia pia neno … Continue reading MAJESHI YA PEPO WABAYA.