Je kualikwa kwenye sherehe za watu ambao si wakristo ni dhambi?
SWALI: Je ni sahihi kualikwa kwenye karamu za watu wasio wakristo (mfano waislamu kwenye sikukuu zao za eid au futari) na kula nao ni dhambi? JIBU: Swali hili jibu lake lipo katika kitabu cha 1Wakorintho 8, Mtume Paulo kwa uweza wa Roho alifafanua jambo hili, akasema chakula hakituhudhurishi mbele za Mungu (Maana yake hakitusogezi mbele … Continue reading Je kualikwa kwenye sherehe za watu ambao si wakristo ni dhambi?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed