KILA KIUNGO LAZIMA KISHUGHULIKE.

Kanisa la Kristo limefananishwa na mwili wa binadamu. Kama vile mwili ulivyo na viungo mbalimbali, mfano mikono, miguu, macho, masikio, mdomo n.k. vikiongozwa na kitu kimoja cha muhimu kiitwacho kichwa. Vivyo hivyo na kanisa la Kristo. Biblia inasema sisi tu viungo mbalimbali na kichwa chetu ni Kristo. Sasa kama vile katika mwili tunajua hakuna kiungo … Continue reading KILA KIUNGO LAZIMA KISHUGHULIKE.