Tofauti kati ya kuungama na kutubu ni ipi?

Kuungama kunakwenda sambamba na kutubu. Kuungama ni kitendo cha kukiri, au kukubali makosa yako kuwa wewe ni mwenye dhambi au ulikosa na hivyo unahitaji kusamehewa. Mathayo 3:5 “Ndipo walipomwendea Yerusalemu, na Uyahudi wote, na nchi zote za kandokando ya Yordani;6 naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao”. Matendo 19:17 “Habari hii ikajulikana … Continue reading Tofauti kati ya kuungama na kutubu ni ipi?