Kwanini Kristo hakuitwa Imanueli badala yake akaitwa Yesu?
SWALI: Unabii uliotolewa na Isaya kumuhusu Kristo unasema angekuja kuitwa Imanueli (Isaya 7:14), lakini badala yake tunaona alikuja kuitwa Yesu? Ni kwanini? JIBU: Tukisoma pale katika Mathayo 1:19-23 Inasema.. Mathayo 1:19 “Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri. 20 Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana … Continue reading Kwanini Kristo hakuitwa Imanueli badala yake akaitwa Yesu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed