NYAKATI HIZI NI ZA MWISHO, HII DUNIA INAKWENDA KUISHA.
Isaya 24:19 “Dunia kuvunjika, inavunjika sana; dunia kupasuka, imepasuka sana; dunia kutikisika, imetikisika sana. 20 Dunia inalewa-lewa kama mlevi, nayo inawaya-waya kama machela; na mzigo wa dhambi zake utailemea; nayo itaanguka, wala haitainuka tena”. Shalom, Hii dunia yetu imefananishwa na mlevi wa kupindukia.. Mlevi ni mtu ambaye ameshapoteza uwezo wake wa kuji-control, yaani akili yake … Continue reading NYAKATI HIZI NI ZA MWISHO, HII DUNIA INAKWENDA KUISHA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed