UMEFUMBULIWA MACHO YAKO YA KIROHO?
Biblia inapozungumzia mioyo..haimaanishi hii mioyo iliyomo ndani ya vifua vyetu inayosukuma damu…hapana bali inazungumzia utu wa ndani ambao ni roho zetu. Biblia inasema katika… Waefeso 1:18 “macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo” Umeona hapo inasema “macho ya … Continue reading UMEFUMBULIWA MACHO YAKO YA KIROHO?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed