NA UPEPO WA KUSI ULIPOANZA KUVUMA KIDOGO,

Na upepo wa kusi ulipoanza kuvuma kidogo, wakidhani ya kuwa wamepata waliyoazimu. Shalom jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Si kila dalili nzuri inayoonekana mbele yetu, itatuletea mwisho mwema, Kama hatutakaa chini kutaka kutafuta mashauri ya Mungu, tuwe na uhakika kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa kupotea..Kama vile biblia inavyotuambia katika… Mithali 14:12 “Iko … Continue reading NA UPEPO WA KUSI ULIPOANZA KUVUMA KIDOGO,