FANYIKA SIPORA WA KRISTO, UNYAKUO UPO KARIBU.

Zipo siri nyingi za ufalme wa mbinguni ambazo Mungu amezificha katika agano la kale, na ndio maana biblia inatuambia torati ni kivuli cha mambo yanayoendelea katika agano jipya (Waebrania 10:1).. Kwa mfano embu tuiangazie ile Habari ya Musa baada ya kutoroka Misri na kukimbilia katika jangwa la Midiani, kwa ufupi biblia inatuambia alipofika kule alikutana … Continue reading FANYIKA SIPORA WA KRISTO, UNYAKUO UPO KARIBU.