Nitaitofautishaje sauti ya Malaika na ya Roho Mtakatifu?
JIBU: Mungu anaweza kuzungumza na mtu moja kwa moja, au akatumia malaika wake kumpa mtu ujumbe au akamtumia mwanadamu…na mara chache sana anaweza kutumia hata wanyama (Hesabu 22:30). Au vitu vya asili (Ayubu 12:7-9). Sasa wanadamu na wanyama ni viumbe wa mwilini, Mungu hawezi kuzitumia roho zao kuzungumza na sisi…kwamfano Mungu hawezi kutumia roho yangu … Continue reading Nitaitofautishaje sauti ya Malaika na ya Roho Mtakatifu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed