KWANINI NI LAZIMA TUFE KWA HABARI YA DHAMBI?.
Tunapaswa tufe kwa habari ya dhambi kwasababu kitendo hicho ni kitendo kinacholazimisha UHAI wetu kuhamishwa toka pale ulipokuwa kwanza na kwenda sehemu nyingine.. Kama vile tunavyojua siku zote kitu pekee kinachoweza kuuhamisha uhai wa mtu ni Kifo. Ukifa leo hii Moja kwa moja uhai wako unatoka na kwenda kwingine.., Na hiyo inapelekea watu kutokutujua mahali … Continue reading KWANINI NI LAZIMA TUFE KWA HABARI YA DHAMBI?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed