MWANAMKE ULIYEKOMAA KI-UMRI, ITAMBUE HUDUMA YAKO.
Ni kwanini wakati mwingine tunaona kama kuna mambo hayaendi sawa katika kanisa la Kristo, kwasababu tunafiri mambo yote yanatatuliwa na mchungaji, au mwalimu au mwinjilisti peke yake.. Kila kiungo katika mwili wa Kristo kinayo kazi yake, hivyo kimoja kisipowajibika ipasavyo ni lazima tu mapungufu yataonekana haijalishi vile vingine vitawajibika kiasi gani… Leo hii utajiuliza ni … Continue reading MWANAMKE ULIYEKOMAA KI-UMRI, ITAMBUE HUDUMA YAKO.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed