IKABODI MAANA YAKE NI NINI?

Ikabodi maana yake ni “Utukufu umeondoka” Hili ni jina ambalo alipewa mtoto wa Finehasi na mke wake siku alipokuwa anajifungua, na hiyo ni baada ya kusikia  Mume wake amekufa katika vita, pamoja sanduku la agano kuchukuliwa na wafilisti na  yeye vilevile anakaribia kufa ndipo akaona jina sahihi linalompasa huyo mtoto ni IKABODI, akiwa na maana … Continue reading IKABODI MAANA YAKE NI NINI?