Atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani? Maana yake nini?
SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kusema “walakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?” JIBU: Ili tupate picha kamili tuisome habari yake kuanzia juu kidogo, kwasababu Bwana alichokisema kinategemea hiyo habari iliyokuwa juu yake… Luka 18 :1-8 “1 Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa. 2 Akasema, Palikuwa na kadhi … Continue reading Atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani? Maana yake nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed