Baradhuli/Mabaradhuli ni nini au ni nani kwenye biblia?
Baradhuli ni nani/ ni nini kama lilivyotumika kwenye biblia? Kibiblia Baradhuli ni mtu asiyefaa, mpumbavu sana, aliyevuka mipaka Ipo mistari kadha wa kadha inayoeleza tabia za watu wabaradhuli. Kwa mfano: Watu wanaoabudu miungu mingine kwa makusudi mbali na Mungu wa Israeli, muumba wa mbingu na nchi, hao ni mabaradhuli kibiblia. Wanaokwenda kwa waganga wa kienyeji … Continue reading Baradhuli/Mabaradhuli ni nini au ni nani kwenye biblia?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed