Mkatale ni nini katika biblia? (Matendo 16:24)
Mkatale ni nini? Mkatale ni pingu ya kufungia mtu, inaweza ikawa ya chuma, au mbao nene. Na huwa inafungwa sana sana miguuni, lakini pia shingoni au mikononi,.. Tazama picha juu. Vifungu vinavyolitaja Neno hilo katika biblia ni kama vifuatavyo; Matendo 16:24 “Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga MIGUU KWA MKATALE. … Continue reading Mkatale ni nini katika biblia? (Matendo 16:24)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed