Pomboo ni nini katika biblia?(Kutoka 25:5, Ezekieli 16:10)
Pomboo ni nini? Pomboo ni aina ya samaki jamii ya nyangumi anayeishi baharini, Anajulikana kwa jina maarufu la DOLPHIN, Ni samaki anayezaa, pia ananyonyesha, lakini zaidi ya yote anasifa ya kuwa mnyama mwenye akili nyingi kuliko wote ulimwenguni baada ya mwanadamu. Na kuwa na tabia ya uokozi. Tazama picha juu. Samaki huyu ni rahisi kufundishika, … Continue reading Pomboo ni nini katika biblia?(Kutoka 25:5, Ezekieli 16:10)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed