Silaha za Mkono wa kuume na za mkono wa kushoto ni zipi

SWALI: Katika 2Wakorintho 6:7, Hizo Silaha za Mkono wa kuume  na za mkono wa kushoto ni zipi? JIBU: Tusome, 2Wakorintho 6:7 “katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto” Mkono wa kuume ni mkono wa kulia, Hivyo kulingana na hilo andiko zipo … Continue reading Silaha za Mkono wa kuume na za mkono wa kushoto ni zipi