Nasaba ni nini kibiblia?(1Nyakati 9:1, Tito 3:9)

Nasaba ni nini kibiblia? Ni mfululizo wa majina ya watu au watawala  katika ukoo mmoja, Kwamfano kitabu cha Mathayo sura ile ya kwanza kinaonyesha nasaba ya Bwana wetu Yesu Kristo (yaani ukoo wake tangu Ibrahimu mpaka kuzaliwa kwake), Na kile cha Luka sura ya tatu kuanzia mstari wa 23-38, kinaeleza ukoo wake tangu kuumbwa kwa … Continue reading Nasaba ni nini kibiblia?(1Nyakati 9:1, Tito 3:9)