Nini maana ya “katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni”.
SWALI: Biblia ina maana gani kusema “Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni” Je! si sahihi kutafuta hekima? Mhubiri1:17 “Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kujilisha upepo. 18 Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni, Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko”. … Continue reading Nini maana ya “katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni”.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed