Neno Bildi linamaanisha nini kwenye biblia(Matendo 27:28) ?

Bildi ni kitu cha kupimia kina cha maji,Mara nyingi huwa ni kamba ambayo wanaifungia kitu kizito kwenye moja ya ncha zake, kisha wanakishusha kitu hicho kwenye maji, aidha  ya mto, au ya ziwa, au ya bahari. na moja kwa moja mpaka kwenye sakafu ya bahari. Kikishafika kule wanapima urefu wa kamba ile na hapo ndipo … Continue reading Neno Bildi linamaanisha nini kwenye biblia(Matendo 27:28) ?