Nini maana ya “chakula hakituhudhurishi mbele za Mungu”?
SWALI: Biblia ina maana gani inaposema “chakula hakituhudhurishi mbele za Mungu”? Jibu: Tusome.. 1Wakorintho 8:8 “Lakini chakula hakituhudhurishi mbele za Mungu; maana, tusipokula hatupunguziwi kitu, wala tukila, hatuongezewi kitu. 9 Lakini angalieni huu uwezo wenu usije ukawakwaza wale walio dhaifu”. “Kuhudhurisha” maana yake ni “kutusogeza karibu na kitu”.. Hivyo biblia inaposema chakula hakituhudhurishi mbele za … Continue reading Nini maana ya “chakula hakituhudhurishi mbele za Mungu”?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed