Biblia ina vitabu vingapi?

Je! Biblia ina vitabu vingapi? Biblia takatifu ina jumla ya vitabu 66, kati ya hivyo 39 ni vya agano la kale, na 27 ni vya agano jipya. Hii ni orodha ya vitabu vya agano la kale: Mwanzo Kutoka Mambo ya walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Ruthu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 … Continue reading Biblia ina vitabu vingapi?