Kuwatema farasi, maana yake ni nini?
SWALI: Naomba kufahamu kuwatema farasi maana yake ni nini?. Kwanini Mungu aliwaagiza wana wa Israeli wakati mwingine wawateme farasi za maadui wao vitani? Neno hilo tunalisoma katika kifungu hiki; Yoshua 11:6 “Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao; kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli; UTAWATEMA FARASI ZAO, … Continue reading Kuwatema farasi, maana yake ni nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed