CHUKI ULIZO NAZO KWA MAADUI ZAKO, SIZO ALIZONAZO MUNGU JUU YAO.

Shalom, Karibu tujifunze biblia, ambayo ni Neno la Mungu. Ni vizuri kumjua Mungu ili tuwe na Amani.. Biblia inasema hivyo katika.. Ayubu 22: 21 “Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia”. Maana yake ni kwamba tukiyajua mapenzi ya Mungu na tabia za Mungu basi tutakuwa na AMANI,  Na ndivyo mema yatakavyotujia. Leo … Continue reading CHUKI ULIZO NAZO KWA MAADUI ZAKO, SIZO ALIZONAZO MUNGU JUU YAO.