kwanini yule kijana aliitupa ile nguo ya kitani chini na kukimbia uchi?
SWALI: Naomba ufafanuzi kidogo hapa sijaelewa vizuri, kwanini wakati Bwana Yesu anakuja kukamatwa naona kijana waliyemkamata alikuwa na nguo ya kitani ila baadae tunaona anaitupa nguo na kukimbia uchi , Marko 14:51-52 JIBU: Tusome; Marko 14:50 “Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote. 51 Na kijana mmoja alimfuata, amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata; 52 naye akaiacha … Continue reading kwanini yule kijana aliitupa ile nguo ya kitani chini na kukimbia uchi?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed