Shekina ni nini? Na Je! Utukufu wa shekina unamaana gani?
Shekina au Shekhinah / schechinah, Ni neno la kiyahudi linalomaanisha, “kutua” au “kuweka makao” au “makazi” ya uwepo wa Mungu duniani. Hivyo utukufu wa Shekina maana yake ni kujifunua kwa uwepo wa Mungu kwa dhahiri duniani, ambapo kuonekana kwake kunaweza kuchukua mfumo wa vitu mbalimbali vya asili , kama vile moto, wingu,moshi,mwanga, kijiti kinachoteketea n.k.,.. … Continue reading Shekina ni nini? Na Je! Utukufu wa shekina unamaana gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed