Nini maana ya kumlingana Mungu?

Kumlingana Mungu ni Kiswahili cha zamani chenye maana ya  “kumwita Mungu”.  Pale mtu anapopitia jaribu, au tatizo, anapomwita au kumlilia Mungu wake kwaajili ya kupata msaada, maana yake mtu huyo “amemlingana” Mungu. Tunaweza kuona mifano michache katika biblia ya watu waliomlingana Mungu. Wana wa Israeli: Hawa walimwacha Bwana, na Bwana akawatia chini ya utumwa mkali … Continue reading Nini maana ya kumlingana Mungu?