“Shinikizo” ni nini kibiblia, Na maana yake rohoni ni ipi?

Shinikizo ni shimo au kisima fulani kilichotengenezwa mahususi  kwa ajali ya kukamulia zabibu,. Zabibu zinavyokamuliwa leo ni tofauti jinsi zilivyokamuliwa zamani, leo hii ni mashine ndio zinazotumika kukamua juisi. Lakini zamani ilikuwa ni tofauti. Walichokuwa wanakifanya mara baada ya kutengeneza au kuchimba a kisima hicho, walizitupa zababu ndani yake na kujaa, kisha wanaume walikuwa wanaingia … Continue reading “Shinikizo” ni nini kibiblia, Na maana yake rohoni ni ipi?